لَعَلَّكَ بَٰخِعٞ نَّفۡسَكَ أَلَّا يَكُونُواْ مُؤۡمِنِينَ
Huenda labda ukajikera nafsi yako kwa kuwa hawawi Waumini.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Huenda wewe, ewe Mtume, kwa kuwa una hamu sana ya kutaka wao waongoke, ukajiangamiza mwenyewe kwa kuwa wao hawakukuamini na hawakufuata kimatendo uongofu wako. Basi usifanye hivyo.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس